Zaburi 107:7-9
7
Akawaongoza kwa njia iliyo sawa hadi mji ambao wangeweza kuishi.
8
Basi na wamshukuru Bwana kwa upendo wake usiokoma, na kwa matendo yake ya ajabu kwa wanadamu,
9
kwa maana yeye humtosheleza mwenye kiu, na kumshibisha mwenye njaa kwa vitu vyema.