Skip to content
Zaburi 106:37-38

Zaburi 106:37-38

37
Wakawatoa wana wao na binti zao dhabihu kwa mashetani.
38
Walimwaga damu isiyo na hatia, damu za wana wao na binti zao, ambao waliwatoa dhabihu kwa sanamu za Kanaani, nayo nchi ikanajisika kwa damu zao.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options