Skip to content
Zaburi 106:34-36

Zaburi 106:34-36

34
Hawakuyaangamiza yale mataifa kama Bwana alivyowaagiza,
35
bali walijichanganya na mataifa na wakazikubali desturi zao.
36
Waliabudu sanamu zao, zikawa mtego kwao.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options