Skip to content
Zaburi 106:34-36

Zaburi 106:34-36

34
Hawakuyaangamiza yale mataifa kama Bwana alivyowaagiza,
35
bali walijichanganya na mataifa na wakazikubali desturi zao.
36
Waliabudu sanamu zao, zikawa mtego kwao.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options