Skip to content
Zaburi 106:32-33

Zaburi 106:32-33

32
Kwenye maji ya Meriba, walimkasirisha Bwana, janga likampata Mose kwa sababu yao;
33
kwa maana walimwasi Roho wa Mungu, na maneno yasiyofaa yakatoka midomoni kwa Mose.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options