Skip to content
Zaburi 106:29-30

Zaburi 106:29-30

29
Waliichochea hasira ya Bwana, wakamkasirisha kwa matendo yao maovu, nayo tauni ikazuka katikati yao.
30
Lakini Finehasi alisimama na kuingilia kati, nayo tauni ikazuiliwa.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options