Skip to content
Zaburi 106:17-18

Zaburi 106:17-18

17
Ardhi ilifunguka ikawameza Dathani, ikawazika Abiramu na kundi lake.
18
Moto uliwaka katikati ya wafuasi wao, mwali wa moto uliwateketeza waovu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options