Skip to content
Zaburi 106:16-18

Zaburi 106:16-18

16
Kambini walimwonea wivu Mose, na pia Aroni aliyekuwa amewekwa wakfu kwa Bwana.
17
Ardhi ilifunguka ikawameza Dathani, ikawazika Abiramu na kundi lake.
18
Moto uliwaka katikati ya wafuasi wao, mwali wa moto uliwateketeza waovu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options