Skip to content
Zaburi 106:13-15

Zaburi 106:13-15

13
Lakini mara walisahau aliyowatendea, wala hawakungojea shauri lake.
14
Jangwani walitawaliwa na tamaa zao, walimjaribu Mungu nyikani.
15
Kwa hiyo aliwapa kile walichoomba, lakini akatuma juu yao ugonjwa wa kudhoofisha.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options