Skip to content
Zaburi 105:43-45

Zaburi 105:43-45

43
Aliwatoa watu wake kwa furaha, wateule wake kwa kelele za shangwe,
44
akawapa nchi za mataifa, wakawa warithi wa mali wengine walikuwa wameitaabikia:
45
alifanya haya ili wayashike mausia yake na kuzitii sheria zake. Msifuni Bwana.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options