Skip to content
Zaburi 105:42-45

Zaburi 105:42-45

42
Kwa maana alikumbuka ahadi yake takatifu, aliyompa Abrahamu mtumishi wake.
43
Aliwatoa watu wake kwa furaha, wateule wake kwa kelele za shangwe,
44
akawapa nchi za mataifa, wakawa warithi wa mali wengine walikuwa wameitaabikia:
45
alifanya haya ili wayashike mausia yake na kuzitii sheria zake. Msifuni Bwana.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options