Zaburi 104:6-9
6
Uliifunika kwa kilindi kama kwa vazi, maji yalisimama juu ya milima.
7
Lakini kwa kukemea kwako maji yalikimbia, kwa sauti ya radi yako yakatoroka,
8
yakapanda milima, yakateremka mabondeni, hadi mahali pale ulipoyakusudia.
9
Uliyawekea mpaka ambao hayawezi kuuvuka, kamwe hayataifunika dunia tena.
Settings