Zaburi 104:27-29
27
Hawa wote wanakutazamia wewe, uwape chakula chao kwa wakati wake.
28
Wakati unapowapa, wanakikusanya, unapofumbua mkono wako, wao wanashibishwa mema.
29
Unapoficha uso wako, wanapata hofu, unapoondoa pumzi yao, wanakufa na kurudi mavumbini.