Skip to content
Zaburi 104:27-28

Zaburi 104:27-28

27
Hawa wote wanakutazamia wewe, uwape chakula chao kwa wakati wake.
28
Wakati unapowapa, wanakikusanya, unapofumbua mkono wako, wao wanashibishwa mema.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options