Skip to content
Zaburi 104:14-15

Zaburi 104:14-15

14
Huyafanya majani ya mifugo yaote, na mimea kwa watu kulima, wajipatie chakula kutoka ardhini:
15
divai ya kuufurahisha moyo wa mwanadamu, mafuta kwa ajili ya kungʼarisha uso wake, na mkate wa kutia mwili nguvu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options