Skip to content
Zaburi 104:14-15

Zaburi 104:14-15

14
Huyafanya majani ya mifugo yaote, na mimea kwa watu kulima, wajipatie chakula kutoka ardhini:
15
divai ya kuufurahisha moyo wa mwanadamu, mafuta kwa ajili ya kungʼarisha uso wake, na mkate wa kutia mwili nguvu.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options