Skip to content
Zaburi 104:13-14

Zaburi 104:13-14

13
Huinyeshea milima kutoka orofa zake, dunia inatoshelezwa kwa matunda ya kazi yake.
14
Huyafanya majani ya mifugo yaote, na mimea kwa watu kulima, wajipatie chakula kutoka ardhini:
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options