Skip to content
Zaburi 104:10-13

Zaburi 104:10-13

10
Huzifanya chemchemi zimwage maji mabondeni, hutiririka kati ya milima.
11
Huwapa maji wanyama wote wa kondeni, punda-mwitu huzima kiu yao.
12
Ndege wa angani hufanya viota kando ya maji, huimba katikati ya matawi.
13
Huinyeshea milima kutoka orofa zake, dunia inatoshelezwa kwa matunda ya kazi yake.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options