Rukia maudhui
Zaburi 103:19-22

Enzi Kuu ya Mungu Juu ya Vyote na Sifa za Ulimwengu

Zaburi 103:19-22
19
Bwana ameweka imara kiti chake cha enzi mbinguni, ufalme wake unatawala juu ya vyote.
20
Mhimidini Bwana, enyi malaika zake, ninyi mlio mashujaa mnaozitii amri zake, ninyi mnaotii neno lake.
21
Mhimidini Bwana, ninyi jeshi lake lote la mbinguni, ninyi watumishi wake mnaofanya mapenzi yake.
22
Mhimidini Bwana, kazi zake zote kila mahali katika milki yake. Ee nafsi yangu, umhimidi Bwana.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options