Skip to content
Zaburi 102:3-5

Zaburi 102:3-5

3
Kwa kuwa siku zangu zinatoweka kama moshi, mifupa yangu inaungua kama kaa la moto.
4
Moyo wangu umefifia na kunyauka kama jani, ninasahau kula chakula changu.
5
Kwa sababu ya kusononeka kwangu kwa uchungu, nimebakia ngozi na mifupa.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options