Skip to content
Zaburi 102:1-2

Zaburi 102:1-2

1
Maombi ya mtu aliyechoka. Anapoteseka na kumimina malalamiko yake kwa Bwana. Ee Bwana, usikie maombi yangu, kilio changu cha kuomba msaada kikufikie.
2
Usinifiche uso wako ninapokuwa katika shida. Unitegee sikio lako, ninapoita, unijibu kwa upesi.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options