Skip to content
Zaburi 10:17-18

Zaburi 10:17-18

17
Unasikia, Ee Bwana, shauku ya wanaoonewa, wewe huwatia moyo, na kusikiliza kilio chao,
18
ukiwatetea yatima na walioonewa, ili mwanadamu, ambaye ni udongo, asiogopeshe tena.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options