Mithali 8:6-9
6
Sikilizeni, kwa maana nina mambo muhimu ya kusema; ninafungua midomo yangu kusema lililo sawa.
7
Kinywa changu husema lililo kweli, kwa maana midomo yangu huchukia uovu.
8
Maneno yote ya kinywa changu ni haki; hakuna mojawapo lililopotoka wala ukaidi.
9
Kwa wenye kupambanua yote ni sahihi; hayana kasoro kwa wale wenye maarifa.
Settings