Skip to content
Mithali 8:34-35

Mithali 8:34-35

34
Heri mtu yule anisikilizaye mimi, akisubiri siku zote malangoni mwangu, akingoja kwenye vizingiti vya mlango wangu.
35
Kwa maana yeyote anipataye mimi amepata uzima na kujipatia kibali kutoka kwa Bwana.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options