Skip to content
Mithali 8:30-31

Mithali 8:30-31

30
Wakati huo nilikuwa fundi stadi kando yake. Nilijazwa na furaha siku baada ya siku, nikifurahi daima mbele zake,
31
nikifurahi katika dunia yake yote nami nikiwafurahia wanadamu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options