Skip to content
Mithali 8:27-31

Mithali 8:27-31

27
Nilikuwepo alipoziweka mbingu mahali pake, wakati alichora mstari wa upeo wa macho juu ya uso wa kilindi,
28
wakati aliweka mawingu juu na kuziweka imara chemchemi za bahari,
29
wakati aliiwekea bahari mpaka wake ili maji yasivunje agizo lake, na wakati aliweka misingi ya dunia.
30
Wakati huo nilikuwa fundi stadi kando yake. Nilijazwa na furaha siku baada ya siku, nikifurahi daima mbele zake,
31
nikifurahi katika dunia yake yote nami nikiwafurahia wanadamu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options