Skip to content
Mithali 8:1-3

Mithali 8:1-3

1
Je, hekima haitani? Je, ufahamu hapazi sauti?
2
Juu ya miinuko karibu na njia, penye njia panda, ndipo asimamapo;
3
kando ya malango yaelekeayo mjini, kwenye maingilio, hulia kwa sauti kubwa, akisema:
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options