Skip to content
Mithali 8:1-4

Mithali 8:1-4

1
Je, hekima haitani? Je, ufahamu hapazi sauti?
2
Juu ya miinuko karibu na njia, penye njia panda, ndipo asimamapo;
3
kando ya malango yaelekeayo mjini, kwenye maingilio, hulia kwa sauti kubwa, akisema:
4
“Ni ninyi wanaume, ninaowaita; ninapaza sauti yangu kwa wanadamu wote.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options