Mithali 6:9-11
9
Ewe mvivu, utalala hata lini? Utaamka lini kutoka usingizi wako?
10
Bado kulala kidogo, kusinzia kidogo, bado kukunja mikono kidogo upate kupumzika:
11
hivyo umaskini utakuja juu yako kama mnyangʼanyi, na kupungukiwa kutakujia kama mtu mwenye silaha.