Skip to content
Mithali 6:33-35

Mithali 6:33-35

33
Mapigo na aibu ni fungu lake na aibu yake haitafutika kamwe;
34
kwa maana wivu huamsha ghadhabu ya mume, naye hataonyesha huruma alipizapo kisasi.
35
Hatakubali fidia yoyote; atakataa malipo, hata yakiwa makubwa kiasi gani.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options