Skip to content
Mithali 6:20-22

Mithali 6:20-22

20
Mwanangu, zishike amri za baba yako, wala usiyaache mafundisho ya mama yako.
21
Yafunge katika moyo wako daima, yakaze kuizunguka shingo yako.
22
Wakati utembeapo, yatakuongoza; wakati ulalapo, yatakulinda; wakati uamkapo, yatazungumza nawe.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options