14
Usiuweke mguu wako katika njia ya waovu wala usitembee katika njia ya watu wabaya.
15
Epukana nayo, usisafiri katika njia hiyo; achana nayo, na uelekee njia yako.
16
Kwa kuwa hawawezi kulala mpaka watende uovu; wanashindwa hata kusinzia mpaka wamwangushe mtu.