Skip to content
Mithali 4:14-16

Mithali 4:14-16

14
Usiuweke mguu wako katika njia ya waovu wala usitembee katika njia ya watu wabaya.
15
Epukana nayo, usisafiri katika njia hiyo; achana nayo, na uelekee njia yako.
16
Kwa kuwa hawawezi kulala mpaka watende uovu; wanashindwa hata kusinzia mpaka wamwangushe mtu.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options