Skip to content
Mithali 4:11-13

Mithali 4:11-13

11
Ninakuongoza katika njia ya hekima na kukuongoza katika mapito yaliyonyooka.
12
Utembeapo, hatua zako hazitazuiliwa; ukimbiapo, hutajikwaa.
13
Mkamate sana elimu, usimwache aende zake; mshike, maana yeye ni uzima wako.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options