Mithali 3:32-35
32
kwa kuwa Bwana humchukia mtu mpotovu, lakini siri yake iko kwa mwenye haki.
33
Laana ya Bwana i juu ya nyumba ya mwovu, lakini yeye huibariki nyumba ya mwenye haki.
34
Huwadhihaki wale wanaodhihaki, lakini huwapa neema wale wanyenyekevu.
35
Wenye hekima hurithi heshima, bali huwaaibisha wapumbavu.
Settings