Skip to content
Mithali 3:32-35

Mithali 3:32-35

32
kwa kuwa Bwana humchukia mtu mpotovu, lakini siri yake iko kwa mwenye haki.
33
Laana ya Bwana i juu ya nyumba ya mwovu, lakini yeye huibariki nyumba ya mwenye haki.
34
Huwadhihaki wale wanaodhihaki, lakini huwapa neema wale wanyenyekevu.
35
Wenye hekima hurithi heshima, bali huwaaibisha wapumbavu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options