Mithali 3:27-30
27
Usizuie wema kwa wale wanaostahili ikiwa katika uwezo wako kutenda.
28
Usimwambie jirani yako, “Njoo baadaye, nitakupa kesho”: wakati wewe unacho kitu kile karibu nawe.
29
Usifanye hila ya kumdhuru jirani yako, ambaye anaishi karibu na wewe akikuamini.
30
Usimshtaki mtu bila sababu, wakati hajakutenda dhara lolote.
Settings