Skip to content
Mithali 3:13-16

Mithali 3:13-16

13
Heri mtu yule aonaye hekima, mtu yule apataye ufahamu,
14
kwa maana hekima ana faida kuliko fedha na mapato yake ni bora kuliko ya dhahabu safi.
15
Hekima ana thamani kuliko marijani; hakuna chochote unachokitamani kinachoweza kulinganishwa naye.
16
Maisha marefu yako katika mkono wake wa kuume; katika mkono wake wa kushoto kuna utajiri na heshima.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options