Skip to content
Mithali 25:21-22

Mithali 25:21-22

21
Kama adui yako ana njaa, mpe chakula ale; kama ana kiu, mpe maji anywe.
22
Kwa kufanya hivyo, unaweka makaa ya moto yanayowaka kichwani pake, naye Bwana atakupa thawabu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options