Skip to content
Mithali 24:30-31

Mithali 24:30-31

30
Nilipita karibu na shamba la mvivu, karibu na shamba la mizabibu la mtu asiye na akili,
31
miiba ilikuwa imeota kila mahali, ardhi ilikuwa imefunikwa na magugu, na ukuta wa mawe ulikuwa umebomoka.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options