Rukia maudhui
Mithali 24:13-14

Utamu na Thawabu ya Hekima

Mithali 24:13-14
13
Ule asali mwanangu, kwa kuwa ni nzuri; asali kutoka kwenye sega ni tamu kwa kuonja.
14
Ujue pia kwamba hekima ni tamu kwa nafsi yako, kama ukiipata, kuna matumaini kwako ya siku zijazo, nalo tumaini lako halitakatiliwa mbali.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options