Skip to content
Mithali 23:6-8

Jiepushe na Mwenye Karoho na Hila

Mithali 23:6-8
6
Usile chakula cha mtu mchoyo, usitamani vyakula vyake vitamu,
7
kwa maana yeye ni aina ya mtu ambaye kila mara anafikiri juu ya gharama. Anakuambia, “Kula na kunywa,” lakini moyo wake hauko pamoja nawe.
8
Utatapika kile kidogo ulichokula, nawe utakuwa umepoteza bure maneno yako ya kumsifu.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options