Skip to content
Mithali 23:6-7

Mithali 23:6-7

6
Usile chakula cha mtu mchoyo, usitamani vyakula vyake vitamu,
7
kwa maana yeye ni aina ya mtu ambaye kila mara anafikiri juu ya gharama. Anakuambia, “Kula na kunywa,” lakini moyo wake hauko pamoja nawe.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options