Skip to content
Mithali 23:31-35

Mithali 23:31-35

31
Usiukodolee macho mvinyo wakati ukiwa mwekundu, wakati unapometameta kwenye bilauri, wakati ushukapo taratibu!
32
Mwishowe huuma kama nyoka na kutia sumu yake kama nyoka mwenye sumu.
33
Macho yako yataona mambo mageni na moyo wako kuwazia mambo yaliyopotoka.
34
Utakuwa kama alalaye katikati ya bahari, alalaye juu ya kamba ya merikebu.
35
Utasema, “Wamenipiga lakini sikuumia! Wamenichapa, lakini sisikii! Nitaamka lini ili nikanywe tena?”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options