Skip to content
Mithali 2:12-14

Mithali 2:12-14

12
Hekima itakuokoa kutoka njia za waovu, kutoka kwa watu ambao maneno yao yamepotoka,
13
wale waachao mapito yaliyonyooka wakatembea katika njia za giza,
14
wale wapendao kutenda mabaya na kufurahia upotovu wa ubaya,
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options