Skip to content
Mithali 18:6-7

Mithali 18:6-7

6
Midomo ya mpumbavu humletea ugomvi na kinywa chake hualika kipigo.
7
Kinywa cha mpumbavu ni uharibifu wake na midomo yake ni mtego kwa nafsi yake.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options