Skip to content
Mithali 16:6-7

Mithali 16:6-7

6
Kwa upendo na uaminifu uovu huondolewa; kwa kumcha Bwana mtu hujiepusha na ubaya.
7
Njia za mtu zinapompendeza Bwana, huwafanya hata adui zake waishi naye kwa amani.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options