Skip to content
Mithali 14:16-17

Mithali 14:16-17

16
Mtu mwenye hekima humcha Bwana na kuepuka mabaya, bali mpumbavu hukasirika kwa hamaki na uzembe.
17
Mtu anayekasirika kwa haraka hufanya mambo ya upumbavu, naye mtu wa hila huchukiwa.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options