Skip to content
Mithali 13:1-3

Thamani ya Mafundisho ya Hekima

Mithali 13:1-3
1
Mwana mwenye hekima husikia mafundisho ya babaye, bali mwenye dharau hasikilizi maonyo.
2
Kutoka tunda la midomo yake mtu hufurahia mambo mema, bali wasio waaminifu wanatamani sana jeuri.
3
Yeye alindaye midomo yake hulinda nafsi yake, bali yeye asemaye kwa haraka ataangamia.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options