Skip to content
Mithali 11:24-25

Mithali 11:24-25

24
Kuna mtu atoaye kwa ukarimu, hata hivyo hupata zaidi, mwingine huzuia, lakini huwa maskini.
25
Mtu mkarimu atastawi; yeye awaburudishaye wengine ataburudishwa mwenyewe.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options