Mithali 11:1
Inaonyesha mstari 1 pamoja na muktadha unaouzunguka.
1
Bwana huchukia sana mizani za udanganyifu, bali vipimo sahihi ni furaha yake.
2
Kiburi kinapokuja, ndipo huja aibu, bali unyenyekevu huja na hekima.
3
Uadilifu wa wenye haki huwaongoza, bali wasio waaminifu huharibiwa na hila yao.
4
Utajiri haufaidi kitu katika siku ya ghadhabu, bali haki huokoa kutoka mautini.
Settings