Skip to content
Mithali 10:28-29

Mithali 10:28-29

28
Tarajio la mwenye haki ni furaha, bali matumaini ya mwovu huwa si kitu.
29
Njia ya Bwana ni kimbilio kwa wenye haki, lakini ni maangamizi ya wale watendao mabaya.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options