Skip to content
Mithali 10:1-2

Mithali 10:1-2

1
Mithali za Solomoni: Mwana mwenye hekima huleta furaha kwa baba yake, lakini mwana mpumbavu huleta huzuni kwa mama yake.
2
Hazina zilizopatikana kwa njia mbaya hazifai, lakini uadilifu huokoa kutoka mautini.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options