Mithali 1:2-5
2
Kwa kupata hekima na nidhamu; kwa kufahamu maneno ya busara;
3
kwa kujipatia nidhamu na busara, kufanya lililo sawa, haki na bila kupendelea;
4
huwapa busara wajinga, maarifa na akili kwa vijana;
5
wenye hekima na wasikilize nao waongeze elimu yao, wenye kupambanua na wapate mwongozo;